Wilaya ya Burera
Wilaya ya Burera inapatikana katika mkoa wa Kaskazini nchini Rwanda.
Makao makuu yako Cyeru.
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Burera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |