William Kipkorir

nafasi ya kenya

William Kipkorir ni mwanasiasa wa Kenya na mwanachama wa UDA; alichaguliwa kuwakilisha kaunti ya Baringo katika seneti ya Kenya tangu uchaguzi mkuu wa 2022. Alifanikiwa kushinda dhidi ya Gideon Moi. Kipkorir ni mbunge wa zamani wa Baringo Kaskazini.[1]

Marejeo

hariri
  1. Members Of The 10th Parliament Archived 16 Juni 2008 at the Wayback Machine.. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.