Kaunti ya Baringo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Ramani ya Kaunti ya Baringo,Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 666,763 katika eneo la km2 10,976.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 61 kwa kilometa mraba[1]..

Makao makuu yako Kabarnet.

Utawala hariri

Kaunti ya Baringo ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eeneo bunge Kata
Baringo ya Kati Kabarnet, Sacho, Tenges, Ewalel/Chapcha, Kapropita
Baringo Kusini Marigat, Ilchamus, Mochongoi, Mukutani
Baringo Kaskazini Barwessa, Kabartonjo, Saimo/Kipsara Man, Saimo/Soi, Bartabwa
Eldama Ravine Lembus, Lembus Kwen, Ravine, Mumberes/Maji Mazuri, Lembus/Pekerra
Mogotio Mogotio, Emining, Kisanana
Tiaty Tirioko, Kolowa, Ribkwo, Silale, Loiyamorock, Tangulbei/Korossi, Churo/Amaya

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3] hariri

  • Baringo Central 96,951
  • Baringo North 104,871
  • East Pokot 79,923
  • Koibatek 129,535
  • Marigat 90,955
  • Mogotio 91,104
  • Tiaty East 73,424

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Baringo-county/
  3. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.