William Ngeleja
William Mganga Ngeleja (amezaliwa tar. 5 Oktoba 1967) ni mbunge wa jimbo la Sengerema katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu William Mganga Ngeleja (3 Julai 2008). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |