Yun Hyon-seok(Kikorea:윤현석 尹賢碩) (7 Agosti 1984 - 26 Aprili 2003) alikuwa mwanaharakati wa haki za binadamu, mshairi na mwandishi wa nchi ya Korea Kusini.

Alikuwa na jina la utani Yukwudang(육우당 六友堂, Marafiki sita nyumbani[1]), Sulheon(설헌 雪軒), Midong(미동 美童[2], uzuri kijana).

Alizaliwa mjini Byupyong, mkoani Incheon, kwenye pwani ya Korea Kusini.

Alikufa kwa kujinyonga jijini Dongdaemun wa Seoul, kwa sababu maandamano ya homo phobia wa Korea Kusini.

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yun Hyon-seok kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.