Zebedayo Bayo

Mshindani wa riadha (michezo)

Zebedayo Bayo (alizaliwa Arusha, 20 Mei 1976) alikuwa mwanariadha wa mbio ndefu wa Tanzania, mtaalamu wa mbio za marathoni.

Alishinda mbio za nusu marathoni za City-Pier-City Loop huko Hague mnamo 2000. [1]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zebedayo Bayo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.