Ziwa Kundi (hata katika lugha nyingine linatumika jina hilo la Kiswahili) linapatikana katika Darfur Kusini, nchini Sudan, Afrika mita 460 juu ya UB[1].

Ni ziwa la kudumu[2] kwenye mdomo wa mto Ibrah, karibu na korongo la mto Bahr al-Arab.[3]

Ziwa linaenea kwa square kilometre 20 (sq mi 7.7) hectare 1 200 (acre 3 000) hadi hectare 100–200 (acre 250–490) kadiri ya wingi wa maji.[4]

Kina chake ni mita 2-3 tu.

Tanbihi hariri

  1. "SD010 Lake Kundi". birdlife.org. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-06. Iliwekwa mnamo 6 August 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "2.8 Sudan". ramsar.wetlands.org. uk. 3. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-09-24. Iliwekwa mnamo 6 August 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Dumont, Henri J. (1 June 2009). The Nile: Origin, Environments, Limnology and Human Use. Springer. ku. 480–. ISBN 978-1-4020-9725-6. Iliwekwa mnamo 6 August 2011.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. Hughes, R. H.; Hughes, J. S. (1992). A directory of African wetlands. IUCN. ku. 233–. ISBN 978-2-88032-949-5. Iliwekwa mnamo 6 August 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)

10°30′N 25°16′E / 10.500°N 25.267°E / 10.500; 25.267

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Kundi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.