Zuwakulu Kisigajiru

Zuwakulu kisigajiru
Zuwakulu Kisigajiru katika eneo la Mto Manyara, Tanzania
Zuwakulu Kisigajiru katika eneo la Mto Manyara, Tanzania
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Piciformes (Ndege kama vigong'ota)
Familia: Lybiidae
Jenasi: Trachyphonus
Spishi: T. erythrocephalus
Cabanis, 1878

Zuwakulu kisigajiru au zuwakulu kichwa-chekundu (Trachyphonus erythrocephalus) ni kisigajiru wa Kiafrika. Zuwakulu au visigajiru ni ndege wanaopatikana kote duniani. Visigajiru hupata jina lao kutoka kwa jinsi walivyoumbwa mdomoni ambapo kuna sehemu yenye nywele za kugwaruza.

Ndege huyu anatokea katika eneo la Afrika mashariki, kutoka nchi ya Sudan katika eneo la kaskazini hadi nchi ya Tanzania katika eneo la kusini.

Marejeo hariri

 
WikiMedia Commons