Zylfije Bajramaj (alizaliwa 2 Oktoba 1997) ni mchezaji wa mpira wa miguu mwenye asili ya Kosovo lakini anayecheza kwa timu ya taifa ya wanawake ya Albania. Anacheza kama mshambuliaji.

Kazi hariri

Bajramaj alikuwa mwanachama wa kikosi cha kitaifa wakati wa mzunguko wa kufuzu wa Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA mwaka 2019.[1]

Marejeo hariri

  1. "Women World Cup Qualifiers Europe 2017/2018 » Teams (Albania)". WorldFootball.net. Iliwekwa mnamo 29 August 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zylfije Bajramaj kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.