Adama
Adama (pia: Nazret au Nazreth; kwa Kiamhara: ናዝሬት nāzrēt; kwa Kioromo: Adaamaa au Hadaamaa; kwa Ge'ez ኣዳማ ādāmā) ni makao makuu ya Jimbo la Oromia nchini Ethiopia.
Adama | |
Mahali pa mji wa Adama katika Ethiopia |
|
Majiranukta: 8°32′0″N 39°16′0″E / 8.53333°N 39.26667°E | |
Nchi | Ethiopia |
---|---|
Mkoa | Oromia |
Wilaya | Misraq Shewa |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 338,940 |
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Adama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |