Adrioni (alifariki Aleksandria, karne ya 4) ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao. Pengine anaongezewa majina ya Vikta na Basila[1], lakini si sahihi[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Mei[3]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.