Yasser Abdullah Al-Mosailem (alizaliwa 27 Februari 1984) ni mchezaji wa soka wa Saudi Arabia ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Al-Ahli na timu ya taifa ya Saudi Arabia.

Al-Mosailem
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaSaudia Hariri
Nchi anayoitumikiaSaudia Hariri
Jina katika lugha mamaياسر المسيليم Hariri
Jina halisiYasser Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa27 Februari 1984 Hariri
Mahali alipozaliwaAl-Ahsa Oasis Hariri
Lugha ya asiliKiarabu Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiarabu Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timugoalkeeper Hariri
Muda wa kazi2005 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoAl-Ahli Saudi FC, Saudi Arabia national football team Hariri
DiniUislamu Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji1 Hariri
AmeshirikiKombe la Dunia la FIFA 2018 Hariri

Kazi ya kimataifa hariri

Mnamo Mei 2018 alitajwa katika miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha kwenda kuwakilisha Saudi Arabia katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Al-Mosailem kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.