Alfred Mutua
Mwanasiasa wa Kenya
Alfred Nganga Mutua (alizaliwa 22 Agosti 1970) ni mwandishi wa habari na mwanasiasa wa Kenya ambaye ni waziri wa sasa wa utalii na wanyamapori.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9d/Dr_Alfred_Mutua_potrait.png/220px-Dr_Alfred_Mutua_potrait.png)
Hapo awali alihudumu kama waziri wa masuala ya kigeni na diaspora chini ya rais William Ruto. [1][2]
Marejeo
hariri- ↑ "President Ruto unveils his Cabinet - Full List". Citizen Digital (kwa Kiingereza). 2022-09-27. Iliwekwa mnamo 2022-10-04.
- ↑ Duncan Miriri and George Obulutsa (27 September 2022), Ex-central bank chief named Kenyan finance minister amid rising inflation Reuters.
Makala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |