Alma Åkermark

mhariri (1853-1933)

Alma Mathilda Åkermark, ( 11 Juni, 1853 - 4 Juni, 1933 ) alikuwa mhariri wa Uswidi, mwandishi, mwanahabari na mwanaharakati wa haki za wanawake.

Alma Åkermark
Alma Åkermark

Alikuwa mwanzilishi mwenza wa jarida la wanawake wenye msimamo mkali la Framåt ('Forward'), na mhariri wakati wa uchapishaji wake wote. Aliandika chini ya jina la pseudonym Mark . Alikuwa mwanachaa hai ndani ya Jumuiya ya Wanawake wa Gothenburg (Gothenburg's Women's Association), na mkuu katika sehemu yenye maendeleo na itikadi kali ya harakati za haki za wanawake nchini Uswidi, na alijulikana pia kwa kuhusika kwake katika Sedlighetsdebatten.

Vyanzo hariri

  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alma Åkermark kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.