Antoliani (alifariki Clermont Ferrand, Akwitania, leo nchini Ufaransa, karne ya 3 hivi) alikuwa Mkristo ambaye aliuawa kwa ajili ya imani yake[1].

Gregori wa Tours alimtaja mara kadhaa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.