Aptoni (alifariki Angouleme, Ufaransa wa leo, 566 hivi) alikuwa askofu wa tano[1] wa mji huo kuanzia mwaka 541 hivi [2].

Mt. Aptoni upande wa mbele wa kanisa la Mt. Cybard.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Oktoba[3].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. Duchesne, Fastes episcopaux, pp. 64 and 67.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/75360
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo

hariri
  • De S. Aptonio episcopo et confessore Engolismensi, in Acta Sanctorum Octobris, vol. XI, Parigi-Roma 1870, pp. 885-888
  • Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, Paris 1910, pp. 64-69 e 135-137
  • Gérard Mathon, Aptonio, vescovo di Angoulême, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. II, col. 324
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.