Azzedine Mihoubi

mwanasiasa wa Algeria

Azzedine Mihoubi (alizaliwa Khadra, Algeria, Januari 1, 1959[1] ) ni mwanasiasa, mshairi, mwanariwaya. pia alikuwa mwandishi wa habari. Azzedine Mihoubi anahudumu kama Waziri wa tamaduni nchini Algeria.

Azzedine Mihoubi

Amezaliwa 1 January 1959
Khandra, Algeria
Nchi Algeria
Kazi yake Mwanasiasa
Cheo waziri wa Utamaduni Nchini (Algeria)
Azzedine Mihoubi 2019

Maisha ya awali hariri

Azzedine Mihoubi alihitimu katika École nationale d'administration d'Alger mnamo mwaka 1984.[1]

Kazi hariri

Mihoubi alianza kazi yake ya uandishi wa habari mnamo 1986.Alikuwa mkuu wa habari kwenye runinga ya Algeria kutoka 1996 hadi 1997.Alifanya kazi kama mtendaji mkuu wa redio ya Algeria kutoka 2006 hadi 2008,na maktaba ya taifa ya Algeria kuanzia 2010 hadi 2013.

Mihoubi alikuwa mjumbe wa Bunge la Wananchi kutoka 1997 hadi 2002.

Mihoubi ni mwandishi wa vitabu kumi ya mashairi na riwaya nne.Pia amepokea zawadi mbalimbali za fasihi kwa ushairi wake.

Marejeo hariri

  1. 1.0 1.1 "BIOGRAPHIE : AZZEDINE MIHOUBI". République Algérienne Démocratique et Populaire: Portail du Premier Ministère. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo October 18, 2016. Iliwekwa mnamo December 3, 2016.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Azzedine Mihoubi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.