Betri (kutoka Kiingereza: "battery") ni kifaa kinachotumika kutunza chaji ya umeme kwa muda fulani.

Betri mbalimbali zilizopangwa kwa jozi.
Alama wakilishi ya betri.

Ilibuniwa na Mwitalia Alessandro Volta mnamo 1800.

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu: