Charity Adule
Mchezaji wa soka wa Nigeria
Charity Ogbenyealu Adule (alizaliwa 7 Novemba, 1993) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Nigeria ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya wanawake ya SD Eibar katika ligi ya Primera División nchini Hispania na timu ya taifa ya wanawake ya nchini Nigeria. Akiwa katika ngazi ya klabu, amewahikuchezea timu ya Rivers Angels, Bayelsa Queens na BIIK Kazygurt.[1][2]
Charity Ogbenyealu Adule
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Nigeria |
Jina halisi | Charity |
Jina la familia | Adule |
Tarehe ya Kuzaliwa | 7 Novemba 1993 |
Mahali alipozaliwa | Warri |
Lugha ya asili | Kiigbo |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Kiigbo, Nigerian Pidgin |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | Kiungo |
Alisoma | Delta State University |
Mwanachama wa timu ya michezo | Rivers Angels F.C. |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Namba ya Mchezaji | 20 |
Marejeo hariri
- ↑ "Q & A With Adule Charity". SL10. 12 July 2014. Iliwekwa mnamo 14 November 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Nigeria (Women) 2006". RSSSF. 31 July 2008. Iliwekwa mnamo 14 November 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Charity Adule kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |