Chawa-vitabu
Trogium pulsatorium
Trogium pulsatorium
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Nusufaila: Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Ngeli ya chini: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda: Psocodea (Wadudu wenye )
Hennig, 1966
Ngazi za chini

Nusuoda 2, familia 2:

Chawa-vitabu (kutoka Kiing.: booklice) au chawa-vumbi (kutoka Kiholanzi: stofluis) ni wadudu wadogo (mm 1-2) wa familia Liposcelididae na Trogiidae katika oda Psocodea ambao hawana mabawa. Takriban spishi zote zinaishi katika majengo ambamo hula maada za wanga, k.m. ambo katika vitabu (asili ya jina).

Wadudu hawa wana umbo wa nzi-gome bila mabawa. Wana nasaba karibu na chawa vidusia ambao siku hizi hufikiriwa kuwa oda ndogo katika nusuoda Troctomorpha.

Spishi kadhaa za Afrika ya Mashariki hariri

  • Cerobasis guestfalica
  • Lepinotus angolensis
  • Lepinotus fuscus
  • Lepinotus inquilinus
  • Liposcelis angolensis
  • Liposcelis annulata
  • Liposcelis bostrychophila
  • Trogium apterum
  • Trogium pulsatorium

Picha hariri

  Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chawa-vitabu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  Makala hii kuhusu "Chawa-vitabu" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili booklouse kutoka lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni chawa-vitabu.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.