Kiholanzi
Lugha ya Kijerumani Magharibi
Kiholanzi ni lugha inayozungumzwa nchini Uholanzi, Ubelgiji na Surinam na watu milioni 23. Katika Uholanzi inaitwa "Nederlands" na katika Ubelgiji inaitwa "Vlaams".
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/81/Dutcharea.png/300px-Dutcharea.png)
Kiholanzi ni lugha ya Kigermanik ya magharibi katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kiafrikaans cha Afrika Kusini ni lugha iliyotoka katika Kiholanzi. Kijerumani ya Kaskazini ni karibu sana na Kiholanzi.