Clipperton ni kisiwa cha bahari ya Pasifiki karibu kidogo na Amerika ya Kati (kilometa 1,080 kutoka Meksiko).

Clipperton kutoka angani.

Ukubwa wake ni kilometa mraba 9.

Kwa sasa hakina tena wakazi, lakini kinamilikiwa na Ufaransa.

Viungo vya nje Edit

 
WikiMedia Commons


Picha Edit

Tovuti za kimataifa Edit

Tovuti za Kifaransa Edit

Safari kwenda Clipperton Edit

  Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Clipperton kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.