Dai Qing

mwanaharakati na mwandishi wa habari kutoka Jamhuri ya watu wa China

Dai Qing (amezaliwa Agosti 1941 huko Chongqing)[1] ni mwandishi wa habari, mwanamazingira na mwanaharakati wa masuala yanayohusiana na Uchina; kwa kiasi kikubwa dhidi ya mradi wa bwawa la Three Gorges Dam.[2]

Dai Qing

Dai pia ni mwandishi ambaye amechapisha vitabu, nakala na majarida mengi yenye ushawishi.[3]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dai Qing kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.