Dalaly Peter Kafumu
Dalaly Peter Kafumu ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Igunga kwa miaka 2011 – 2020. [1]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c0/Dalaly_Kafumu.jpg/220px-Dalaly_Kafumu.jpg)
Marejeo
hariri- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |