Danilo II
Danilo II (kwa Kiserbia: Данило II) alikuwa askofu mkuu wa Waserbia miaka 1324-1337.
Akiwa kwanza mmonaki, aliandika kumbukumbu za watu na matukio mbalimbali ambazo ni kati ya maandishi muhimu ya Kiserbia.
Anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
VyanzoEdit
- Episkop šumadijski Sava (2001). Sveti Danilo II arhiepiskop srpski (sr). Srpski jerarsi od IX do XX veka. Projekat Rastko. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-04-02. Iliwekwa mnamo 2017-12-03.
- Лопандић, Душко (2009). Архиепископ српски Данило II (sr). Politikin zabavnik. Jalada kutoka ya awali juu ya 2014-06-04.
- Justin Sp Popović (1976). Žitija svetih (in sr). Izdanje Manastire sv. Ćelije kod Valjeva.
Marejeo mengineEdit
- (1866) Životi kraljeva i arhiepiskopa srpskih (in sr). US. Galca.
- "Архиепископ Данило II и његово доба" (in sr). Међународни научни скуп поводом 650 година од смрти (Belgrade: САНУ). December 1987.
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |