Denisi wa Vienne (alifariki katikati ya karne ya 4) alikuwa askofu wa 6 wa mji huo (leo nchini Ufaransa)[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Mei[2] au 8 Mei[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. (Kiitalia) http://www.santiebeati.it/dettaglio/52440
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  3. (Kigiriki) Ὁ Ἅγιος Διονύσιος ὁ Ἱερομάρτυρας. 8 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.