Dick Cole

Mwanasiasa wa Uingereza (aliyezaliwa 1968)

Dick Cole (alizaliwa 6 Aprili 1967) ni mwanasiasa wa Cornwall,[1] kwa sasa ni mwanachama aliyechaguliwa wa Baraza la Cornwall na kiongozi wa chama cha siasa cha ugatuzi cha Cornish, Mebyon Kernow, jukumu alilolishikilia tangu mwaka 1997. Kwa sasa yeye ni mmoja wa viongozi wa kisiasa waliohudumu kwa muda mrefu zaidi nchini Uingereza.[2]Dick Cole alichaguliwa kuwa kiongozi wa kwanza mnamo mwaka 1997. Yeye anaishi katika Fraddon, kijiji katikati ya Cornwall.

Marejeo hariri

  1. Whitehouse, Richard (2017-10-01). "Mebyon Kernow leader Dick Cole marks 20 years in the role". CornwallLive (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-04-06. 
  2. "Dick Cole re-elected leader of Mebyon Kernow", Falmouth Packet (online edition).