Diogo Dalot

Mchezaji wa chama cha mpira wa miguu wa Ureno

Diogo Dalot (alizaliwa 18 Machi 1999) ni mchezaji wa soka wa Ureno anayecheza katika klabu ya ligi kuu ya Uingereza ya Manchester United.[1][2]

Kazi katika klabu za mpira hariri

Manchester United hariri

Diogo Dalot alisaini katika klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Manchester United mnamo 6 Juni mwaka 2018 katika mkataba wa miaka mitano (5) kwa ada ya £ 19 milioni.[3]

Marejeo hariri

  1. Portugal - Diogo Dalot - Profile with news, career statistics and history - Soccerway. uk.soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2022-04-12.
  2. Wayback Machine. web.archive.org. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-02-06. Iliwekwa mnamo 2022-04-12.
  3. "Man Utd sign Porto's Dalot for £19m", BBC Sport (in en-GB), retrieved 2022-04-12 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diogo Dalot kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.