Donati wa Eurea
Donati wa Eurea (alifariki Ugiriki, 387) alikuwa askofu bora wa Paramythia, leo Eurea, Ugiriki Kaskazini, wakati wa kaisari Theodosi I[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki[3] na Waorthodoksi[4] kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Elsie, Robert (2000). "The Christian Saints of Albania". Balkanistica (American Association for South Slavic Studies) 13: 36.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/51340
- ↑ St. Donatus of Evorea - Catholic Online
- ↑ St Donatus the Bishop of Euroea in Epirus - OCA
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- (Kifaransa) R. Aubert, v. 16. Donat, évêque d'Euroea, in Dictionnaire d'Histoire et de Géographie ecclésiastiques, vol. XIV, Parigi 1960, coll. 650-651
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |