Edith Eduviere
mchezaji wa soka wa kike wa Nigeria
Edith Eduviere (alizaliwa 18 Juni 1986) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Nigeria ambaye anacheza kama kiungo. Alikuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Nigeria katika michezo ya Olimpiki mwaka 2008. [1][2]
Edith Eduviere | |
Amezaliwa | 18 Juni 1986 Nigeria |
---|---|
Nchi | Nigeria |
Kazi yake | Mchezaj wa mpira wa miguu |
Marejeo hariri
- ↑ Women's Olympic Football Tournament Beijing – Nigeria Squad List. FIFA. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-05. Iliwekwa mnamo 22 October 2012.
- ↑ Edith Eduviere - Profile and Statistics - SoccerPunter.com.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Edith Eduviere kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |