Erick Mutai
Mwanasiasa wa Kenya
Erick Mutai (alizaliwa 28 Desemba 1983) ni mwanasiasa wa Kenya na msomi kutoka chuo kikuu cha Embu, gavana mteule katika kaunti ya Kericho, Kenya. Erick Mutai ni mwanachama wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) na mhitimu wa Chuo Kikuu cha Maseno na chuo kikuu cha Kabianga.[1]
Marejeo
haririMakala hii kuhusu mwanasiasa huyo wa Kenya bado ni mbegu. Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |