Familia pana (kwa Kiingereza extended family) ni jamii iliyoundwa na ndugu wa vizazi kadhaa, kwa mfano babu, bibi, wazazi na watoto wao, au pia shangazi, mjomba, binamu n.k.[1], si wazazi na watoto peke yao kama familia nyuklia.

Familia pana.

Katika nchi ambazo zinakubali mitara, familia zinaweza kuwa pana zaidi.

Tanbihi hariri

  1. Andersen, Margaret L and Taylor, Howard Francis (2007). The extended family may live together for many reasons, such as to help raise children, support for an ill relative, or help with financial problems. Sociology: Understanding a diverse society. p. 396 ISBN 0-495-00742-0
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Familia pana kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.