Fana wa Misri (pia: Abu Fana, Abu Fanah, Apa Bane; 354-395 hivi) alikuwa mmonaki mkaapweke wa Misri ya Juu[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Otto F.A. Meinardus (1999). Two thousand years of Coptic Christianity. American University in Cairo Press. uk. 215. ISBN 9789774247576. 
  2. Jill Kamil, Jill Kamil (2002). Christianity in the land of the pharaohs: the Coptic Orthodox Church. Psychology Press. ku. 265–266. ISBN 9780415242530. , Sīrat al-Qidīs Abū Fānā al-Mutawahid (Biography of Saint Abū Fānā the Hermit), Bishopric of Mallawī, 1998, reprinted in 2008.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.