Franco Giongo (Bologna, 27 Julai 1891 - 28 Desemba 1981) alikuwa mwanariadha wa Italia ambaye alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto mnamo mwaka 1912.[1]

Franco Giongo(wa kwanza kushoto)

Marejeo

hariri
  1. "Franco Giongo". Olympedia. Iliwekwa mnamo 16 Aprili 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Franco Giongo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.