Gabriel Abdel El-Metgaly

Gabrieli Abdel El-Metgaly (30 Machi 1918 - 3 Septemba 1978) alikuwa padri wa Kanisa la Wakopti aliyeuawa na Waislamu wenye itikadi kali nyumbani mwake.

Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.