Gilgil ni mji wa Kenya, kaunti ya Nakuru katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Mmojawapo wa wafugaji Gilgil
Kilimo cha umwagiliaji Gilgil


Gilgil
Nchi Kenya
Kaunti Nakuru
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 35,293

Wakazi walikuwa 35,293 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Gilgil ni pia kata ya eneo bunge la Gilgil[2].

Tanbihi hariri

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine