Granada
Granada ni mji kusini mwa Hispania, kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000.

Mlango wa kanisa kuu la Granada.
Uko miguuni pa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.
Mji una majengo mashuhuri sana, kama vile Alhambra na makanisa yake.
HistoriaEdit
Kati ya miaka 711 na 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.
Viungo vya njeEdit
- Detailed information about the Alhambra
- Tourist Information of Granada Archived 28 Februari 2009 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Granada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |