Hauwa Muhammed Sadique

Hauwa Muhammed Sadique, (alizaliwa mnamo 6 Februari, 1969) ni mhandisi wa nchini Nigeria na raisi wa 14 wa chama cha wahandisi wanawake wataalamu wa nchini Nigeria (APWEN).[1][2] Hauwa ni raisi wa kwanza wa chama hicho akitokea ukanda wa kaskazini mwa Nigeria.[3]

Hauwa Muhammed Sadique
Nchi Nigeria
Kazi yake Mhandisi

Maisha ya Awali hariri

Hauwa alizaliwa tarehe 6 Februari 1969 kwenye familia ya hayati Muhammed Abubakar, na mfanyabiashara hayati Amina Muhammed Shuwa ambae alikua mama yake.[4] Hauwa amezaliwa katika Jimbo la Borno, Nigeria.

Alisoma katika Shule ya Msingi ya Jeshi la Watoto mjini Kaduna mwaka 1976. Amesoma katika Chuo cha Queen Amina. Alipata stashahada ya kitaifa ya Teknolojia ya Uhandisi wa Kilimo na baadaye alipata shahada ya uhandisi mwaka 1994 kutoka Chuo Kikuu cha Maiduguri. Alipata Shahada ya pili ya Uchumi kwenye Chuo Kikuu cha Bayero mwaka 2005.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hauwa Muhammed Sadique kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.