Hospitali ya Mvumi

Hospitali ya Mvumi ipo katika kijiji cha Mvumi Misheni, Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma na ipo chini ya usimamizi wa kanisa la Anglikana Kanda ya kati mwa Tanzania. Hospitali hii hutoa huduma kwa wakazi wa Dodoma vijijini ikiwa na zaidi ya vitanda 280 za wagonjwa.

Hospitali ya Mvumi ni hospitali pekee Dodoma vijijini yenye uwezo wa kuhudumia zaidi ya watu 400,000 kwa mwaka. Mwaka 2008 kulitoka tamko la Raisi Jakaya Kikwete kwamba ingekuwa Hospitali ya Halmashauri na ikawa rasmi mwaka 2009. Serikali hulipa mishahara ya wafanyakazi wa hospitali na madawa tofauti na pesa za miradi na vifaa vya tiba.

Hospitali hii hupata msaada pia kutoka Uingereza (namba za usajili 289820). [1]

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-10-28. Iliwekwa mnamo 2020-03-07. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hospitali ya Mvumi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.