IBM (kifupisho cha International Business Machines Corporation) ni kampuni kutoka Marekani ambayo inatengeneza na kuuza programu, vifaa vya kompyuta, huduma za miundombinu, na huduma za ushauri.

Kampuni ya IBM

IBM ni moja ya makampuni makubwa ya teknolojia ya habari duniani. IBM imekuwa na leseni zaidi ya kampuni yoyote ya teknolojia kwa miaka mingi, na imetengeneza vitu muhimu ambavyo vimeboresha kompyuta.

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu IBM kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.