Ibrahim El-Gohary (alifariki 31 Mei 1795) alikuwa Waziri Mkuu wa Misri katika karne ya 18. Alipendwa sana na Wakopti wenzake na wananchi kwa jumla[1].

Alijitahidi sana kujenga na kukarabati makanisa na monasteri[2].

Anaheshimiwa na Wakopti kama mtakatifu.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. The famous historian Abd al-Rahman al-Jabarti wrote about Ibrahim El-Gohary, saying:
    • "He had made Egypt great by his capability which endured for long time. He was one of the great world statesmen with a great decisive mind. He treated everyone according to their abilities, and did things that attracted the hearts and the love of the people to him."
  2. [1] "The Departure of the most honored Layman Ibrahim El-Gohari" at Coptic Orthodox Church Network

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.