Ikram Kabbaj (kwa Kiarabu: إكرام القباج; alizaliwa mwaka 1960) ni msanii anayejishughulisha na sanaa ya uchongaji kutoka Morocco. Kabbaj kwa kiasi kikubwa huchonga vitu kutoka kwenye mawe na marumaru.

Maisha Ya Awali Na Elimu hariri

Kabbaj Alizaliwa Casablanca mwaka wa 1960. Alipata elimu yake kutoka shule ya sanaa École des Beaux-Arts huko Paris, akisoma huko kutoka mwaka 1978 hadi 1987 akibobea katika sanaa ya uchongaji.

Kazi Na Sanaa hariri

Kazi na sanaa za Kabbaj huoneshwa kwa kiwango cha kitaifa nchini Morocco na kimataifa.[1]

Marejeo hariri

  1. "Ikram Kabbaj". Beauce Art (kwa fr-FR). Iliwekwa mnamo 2019-10-26.