Itifaki (utarakilishi)
Katika utarakilishi na lugha za programu, itifaki (kwa Kiingereza: protocol in object oriented programming languages) ni vyombo vya kawaida vinavyotumika ili vipengee viwasiliane. Itafaki inatumiwa katika lugha ya programu inaozingatiwa kuhusu kipengee kama Lua, Python au Java
MarejeoEdit
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).