Itifaki (utarakilishi)

Katika utarakilishi na lugha za programu, itifaki (kwa Kiingereza: protocol in object oriented programming languages) ni vyombo vya kawaida vinavyotumika ili vipengee viwasiliane. Itafaki inatumiwa katika lugha ya programu inaozingatiwa kuhusu kipengee kama Lua, Python au Java

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.