Lugha ya programu

Lugha ya programu ni aina ya lugha iliyoandikwa inayoongoza tarakilishi kufanya kazi fulani kama inayotarajiwa na mwandishi. Lugha za namna hiyo zinatumika kuandaa programu zote za kompyuta. Ni kama seti ya maelekezo ya kufuata.

Kosa dogo katika kuandika linaweza kusababisha madhara makubwa. Hivyo ni lazima uhakikishe umeandika vizuri kila herufi, tarakimu au alama nyingine yoyote.

Hapa chini kuna orodha ya lugha za programu:

Yaliyomo: Mwanzoni - 0–9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

AEdit

BEdit

CEdit

DEdit

FEdit

GEdit

HEdit

JEdit

KEdit

LEdit

MEdit

OEdit

PEdit

QEdit

REdit

SEdit

TEdit

VEdit

YEdit