Jalada (tarakilishi)

(Elekezwa kutoka Jadala (tarakilishi))

Jalada au faili (kwa Kiingereza: computer file) ni rasilimali ya tarakilishi inayotumika kutunza data katika kifaa cha kutunzia. Jadala zinaweza kutunza picha, video, programu au nakala. Jadala zinaweza kuwa .jpeg, .pdf, .png, .R...[1]

Diski ngumu ya IBM.

Marejeo hariri

  1. http://www.etymonline.com/index.php?term=file
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.