Jeremie Frimpong

Mchezaji wa mpira wa miguu wa chama cha Uholanzi

Jeremie Agyekum Frimpong (alizaliwa 10 Desemba 2000)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uholanzi, ambaye anacheza kama beki katika klabu ya Bayer 04 Leverkusen inayoshiriki Bundesliga ya Ujerumani na timu ya taifa ya Uholanzi.

Marejeo

hariri
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jeremie Frimpong kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.