Bundesliga
Bundesliga ni jina la michezo ya hali ya juu katika nyanja za michezo mbalimbali katika Ujerumani na Austria. Bundesliga ina maana ya kutaja ligi kuu ya nchi nzima. Mpira wa miguu ni mchezo mashuhuri sana katika nchi hizo mbili. Na ndiyo maana mchezo wa mpira wa miguu unajulikana sana katika nchi hizo kwa jina la Bundesliga.
Timu za mpira zinaingia katika Bundesliga kwa kuwa washindi katika moja kati ya ligi ndogo za nchini humo. Timu itakayoongoza katika msimu wa mashindano hayo inaitwa Meister. Meister ni neno la Kijerumani lenye maana ya bingwa au mshindi. Kisheria, msimu wa michezo ya mpira huwa na kawaida ya kuanza Juni katika mwaka uliopo hadi Juni mwaka unaofuatia.
Timu itakayoongoza itategemea na ushindi au pointi walizozipata wakati wa msimu huo. Msimu huo umegawanyika katika sehemu mbili. Katika kila sehemu, kila timu zitashindana dhidi ya mwenzake. Katika mambo ya mpira wa miguu, timu itakayoshinda itapata pointi tatu. Kama mchezo utaisha bila kupattikana mshindi, basi timu zote mbili zitapata pointi mojamoja.
Idadi ya timu ni 20
Viungo vya njeEdit
- Map to all Germany clubs
- Official site Archived 6 Aprili 2007 at the Wayback Machine. (Kiingereza)
- DFB — Deutscher Fußball Bund (German Football Association)
- Kicker.de (Kijerumani)
- Federal league archives (Kijerumani)
- News and features from the Bundesliga presented by the Deutsche Welle (in seven languages, including English and German)
- News about Bundesliga (Kijerumani)
- All-time statistics (Kiingereza)
- German Bundesliga match previews Archived 12 Juni 2008 at the Wayback Machine. (Kiingereza)
- Bundesliga Table Archived 21 Mei 2008 at the Wayback Machine. (Kiingereza)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Bundesliga kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |