Jonathan Tabu (aizaliwa 7 Oktoba 1985) ni mchezaji wa mpira wa kikapu wa Ubelgiji ambaye anacheza katika klabu ya ESSM Le Portel ya Ufaransa LNB Pro A. Tabu pia anaiwakilisha Ubelgiji katika mashindano ya kimataifa.

Jonathan Tabu, Tabu ni huyo wakulia akijaribu kizuia

Utaalamu wa taaluma hariri

Mnamo 2010 Tabu alisaini mkataba katika timu ya Serie A Cantù.Katika msimu wa 2011-12 alicheza kwa mkopo katika timu ya Vanoli Cremona.Katika msimu wa 2012-13 alicheza kwenye EuroLeague akiwa na timu ya Cantù, mnamo 11 Novemba alifunga alama 17 dhidi ya Panathinaikos. Kwa msimu wa 2013-14 Tabu alisaini Uhispania na CAI Zaragoza.

Mnamo 4 Agosti 2014, Tabu alisaini mkataba na Alba Berlin.Mnamo 28 Aprili 2015, aliondoka Alba na kusaini na klabu ya Italia Emporio Armani Milano kwa msimu wote wa Serika A 2014.Mnamo 28 Julai 2015, Tabu alisaini na Fuenlabrada.

Mwaka mmoja baadaye, alihamia Bilbao Basket.Mnamo 2 Novemba 2018, alisaini na Le Mans Sarthe wa Ufaransa LNB Pro A.

Kazi ya kimataifa hariri

Aliiwakilisha Ubelgiji kwenye EuroBasket 2015 ambapo walipoteza dhidi ya Ugiriki katika fainali nane na 75-54.

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jonathan Tabu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.