Katherine Maher

Katherine Roberts Maher (alizaliwa 18 Aprili 1983.[1] ni afisa mkuu mstaafu na mkurugenzi mtendaji wa Wikimedia Foundation. [2][3]

Akiwa mwanachama wa Baraza la Uhusiano wa Kigeni, Maher alifanya kazi UNICEF, Taasisi ya Kitaifa ya demokrasia na Benki ya Dunia kabla ya kujiunga na Wikimedia Foundation. Baadaye alijiunga na Baraza la Atlantiki na kwa sasa anatumikia katika Bodi ya Sera ya Mambo ya Nje ya Marekani.[4]

MarejeoEdit

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Katherine Maher kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.