Kihalbi ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Uhindi inayozungumzwa na Wahalbi. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kihalbi imehesabiwa kuwa watu 593,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kihalbi iko katika kundi la Kiaryan.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihalbi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.